Psalms 116:1-2

Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti


1 aNinampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;
amesikia kilio changu ili anihurumie.

2 bKwa sababu amenitegea sikio lake,
nitamwita siku zote za maisha yangu.

Copyright information for SwhKC